K kunyenge Member May 26, 2022 55 74 Jun 1, 2022 #1 Habarini wote , me ni mgeni humus ndani ila nimekuwa nikufiatilia madam mbalimbali , nimejiunga rasmi kwa kuwa napata madini ya maana humus. Kwa ufupi naipenda mno Jamii forum. Kwani ninajifunza mengi, kwa waliotangulia humu. Naomba mnipokee ...
Habarini wote , me ni mgeni humus ndani ila nimekuwa nikufiatilia madam mbalimbali , nimejiunga rasmi kwa kuwa napata madini ya maana humus. Kwa ufupi naipenda mno Jamii forum. Kwani ninajifunza mengi, kwa waliotangulia humu. Naomba mnipokee ...
K kunyenge Member May 26, 2022 55 74 Jun 1, 2022 Thread starter #3 Ahsante sana bro, napenda sana mada zako, kwani nimekuwa nikifatilia sana. Ki ukweli wewe ni mmoja umenishawishi kuingia humu ili niweze hata kukoment. Na umekuwa mtu wa kwanza kunikaribisha ubarikiwe mno..
Ahsante sana bro, napenda sana mada zako, kwani nimekuwa nikifatilia sana. Ki ukweli wewe ni mmoja umenishawishi kuingia humu ili niweze hata kukoment. Na umekuwa mtu wa kwanza kunikaribisha ubarikiwe mno..
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Jun 1, 2022 #4 kunyenge said: Ahsante sana bro, napenda sana mada zako, kwani nimekuwa nikifatilia sana. Ki ukweli wewe ni mmoja umenishawishi kuingia humu ili niweze hata kukoment. Na umekuwa mtu wa kwanza kunikaribisha ubarikiwe mno.. Click to expand... karibu tena na jisikie uko nyumba yenye kisima cha mengi
kunyenge said: Ahsante sana bro, napenda sana mada zako, kwani nimekuwa nikifatilia sana. Ki ukweli wewe ni mmoja umenishawishi kuingia humu ili niweze hata kukoment. Na umekuwa mtu wa kwanza kunikaribisha ubarikiwe mno.. Click to expand... karibu tena na jisikie uko nyumba yenye kisima cha mengi
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,066 10,707 Jun 1, 2022 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.