Nimekuwa nikijiuliza lakini nakosa jibu! Hivi ni kwa nini marekani kunaitwa unyamwezini? Au mmarekani anaitwa mnyamwezi? Sometimes mtu akiwa mjanja mjanja anaitwa mnyamwezi? Kuna uhusiano gani hapo?
Wanaitwa wanyamwezi kwa kuwa wanyamwezi ni wajanja. Walifika katika miji mingi mapema kuliko makabila mengine ndio maana amekuwa mtani wa makabila mengi.