Naxria abdalla
Senior Member
- Feb 28, 2025
- 173
- 306
Na mimi naomba nije unipime (kama ni nesi wa kike)Naomba nielewesheni pole pole bila kunigombeza kwanini ndani ya siku 4 presha yangu imebadilika hivi?je hapa ndo mtu anakuwa tyr ni muhanga wa presha?sijaonana na daktari nimepima tu kujua hali yangu kuna vidalili ziliniogopeshanifanyeje niishushe ili nirudi kawaida
Tarehe 21Hiyo pressure ya juu ulipima tarehe ngapi?? π€
Sawa kipendhyNgoja waje DR Mambo Jambo
Ni dalili ndio zimenipeleka pale miguu kuwaka moto,kutembea kdg tu magotini munachoka unahisi sasa naangukaMkuu sometimes hata wenge lina changia kupandisha au kushusha, wewe chukulia poa after 1 wiki kapime tena.
Imepanda ghafla sana,Tarehe 21
Yah upo sahihi mkuuMkuu sometimes hata wenge lina changia kupandisha au kushusha.
wewe chukulia poa after 1 wiki kapime tena, punguza stress na style yako ya maisha ibadilishe ikiwa ni tight sana.
Hakuna presha kwa familia,kuwaza nawaza ila sio kuwaza kama ivo ulivyokusudia kwamba jambo linanipa stress sana hapana,30Imepanda ghafla sana,
1. Kwenye familia je hakuna historia ya ugonjwa huo??
2. Hakuna kitu unakiwaza zaidi au kuna jambo linakusumbua hivi karibuni??
3. Umri wako je??
Usiende kuonana na daktari.. wewe ishi maisha yako kama hujui lolote.. usiwe na mawazo zingatia mlo sahihi alafu relax uishi na watu vizuri.. ukionana na daktari utaanzishwa clinic na baada ya hapo utajikuta unashindiliwa madawa bila mpangilio na mwishowe kuingizwa kwenye vitabu vya kumbukumbuNaomba nielewesheni pole pole bila kunigombeza kwanini ndani ya siku 4 presha yangu imebadilika hivi?je hapa ndo mtu anakuwa tyr ni muhanga wa presha?sijaonana na daktari nimepima tu kujua hali yangu kuna vidalili ziliniogopeshanifanyeje niishushe ili nirudi kawaida
Sawa sawa, hata ukila nyeto bila kula kisha ukaenda kupima lazima uone giza dogo πYah upo sahihi mkuu
Pia kuna ile unapima presha ukiwa umetoka Kufanya kazi iliyokuchosha sana, Au una furaha sana, hii lazima ikuletee majibu tofauti ya presha na ukiwa umetulia tuu.
Ndo mana Hua tunakunywa maji kabla ya kupima ili kupoza mwili.
Hata ww mlivyopasuliwa na Man City ungeenda kupima presha ungeikuta iko juu π
Okey,Hakuna presha kwa familia,kuwaza nawaza ila sio kuwaza kama ivo ulivyokusudia kwamba jambo linanipa stress sana hapana,30
AhsanteOkey,
1. Fanya follow up angalu wiki mbili
2. Kapime BMI ( uone kama una overweight au Obesity)
3. Usitumie dawa yeyote ile kwa sasa, maana ukishaaza hizo dawa itakuwa kama umeboost pressure na utakuwa mtumwa wa hizo dawa mpaka kufa kwako.
4. Punguza ulaji mwingi wa chumvi kwa kipindi hiki.
5. Relax maisha yapo tu.... π π π π
Apo kwenye mlo sahihi mm ndio nataka sasa naitaji ivyo vyakula vuzuri na vibaya ili niweze kuvipangaUsiende kuonana na daktari.. wewe ishi maisha yako kama hujui lolote.. usiwe na mawazo zingatia mlo sahihi alafu relax uishi na watu vizuri.. ukionana na daktari utaanzishwa clinic na baada ya hapo utajikuta unashindiliwa madawa bila mpangilio na mwishowe kuingizwa kwenye vitabu vya kumbukumbu
Kula mboga za majani kwa wingi sana.. punguza chumvi na sukari ikibidi achana nazo iwe kutumia kwa dharura sana, badala ya chumvi tumia pilipili na sukari tumia asali.. kunywa maji mengi sana na epuka vyakula vya wanga na mafuta.. kama ni ugali mboga za majani ziwe nyingi sana ugali kidogo wali achana nao kabisa.. fanya hivi kwa miezi miwili alafu nenda kapime.Apo kwenye mlo sahihi mm ndio nataka sasa naitaji ivyo vyakula vuzuri na vibaya ili niweze kuvipanga
BMI ndio kipimo ganiOkey,
1. Fanya follow up angalu wiki mbili
2. Kapime BMI ( uone kama una overweight au Obesity)
3. Usitumie dawa yeyote ile kwa sasa, maana ukishaaza hizo dawa itakuwa kama umeboost pressure na utakuwa mtumwa wa hizo dawa mpaka kufa kwako.
4. Punguza ulaji mwingi wa chumvi kwa kipindi hiki.
5. Relax maisha yapo tu.... π π π π