Mkuu kuna utaratibu wa kuapeal... Nenda kwa meneja ikishindikana mkurugenzi ikishindikana peleka malalamiko yako EWURA.. nakuhakikishia haki yako itapatikana na fidia juu...
Kuna kakotabu fulani nadhani pitia hata kwenye tovuti yao kitakuwepo ambacho ndio kama mkataba wako na wao humo ndani kumeainishwa kila kitu