Mkuu kuna utaratibu wa kuapeal... Nenda kwa meneja ikishindikana mkurugenzi ikishindikana peleka malalamiko yako EWURA.. nakuhakikishia haki yako itapatikana na fidia juu...
Kuna kakotabu fulani nadhani pitia hata kwenye tovuti yao kitakuwepo ambacho ndio kama mkataba wako na wao humo ndani kumeainishwa kila kitu
Mkuu hiyo siku walikosea kwa watu wengi ila baadae walituma ujumbe WA kuomba msamaha na walirekebisha ila kama unaona Kuna jambo ambalo halijakaa Sawa mwone meneja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.