Naomba maana ya ndoto hizi

Naomba maana ya ndoto hizi

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 hivi. Siku hizi nimekumbwa na ndoto za ajabu sana.

1. Kuota naongea na mbwa then mbwa anabadilika badilika, badae anakuwa kama mwanamke, halafu ananiomba nimfanye mapenzi, namfanya alafu anafurahi sana, anatamani niendelee

2. Kuota nahutubia watu, anakujua mtu ninayemfahamu anachukua nguo niliyovaa ya juu, nibaki kifua wazi. Namkimbiza simkamati

3.Kuota ndoto ZINAZOFANANA na ya mpenzi wangu. Yaani mimi niliota naenda kufanya mtihani wa somo ambalo sijasoma, nikawa naumia sana kuwa naenda kufeli. Na yeye aliota hivo hivo
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 hivi. Siku hizi nimekumbwa na ndoto za ajabu sana.
1. Kuota naongea na mbwa then mbwa anabadilika badilika,. badae anakuwa kama mwanamke, halafu ananiomba nimfanye mapenzi, namfanya alafu anafurahi sana, anatamani niendelee
2. Kuota nahutubia watu, anakujua mtu ninayemfaham anachukua nguo niliyovaa ya juu, nibak kifua wazi. Namkimbiza simkamati
3.Kuota ndoto ZINAZOFANANA na ya mpenzi wangu. Yaani mimi niliota naenda kufanya mtihani wa somo ambalo sijasoma, nikawa naumia sana kuwa naenda kufeli. Na yey aliota hivo hivo

mzimu tena wa uzinzi unakufatilia sana.......kwa imani yako.....omba sana hii roho ikutoke.........
Vingine.....@mshanajr atakuelekeza.........
 
mzimu tena wa uzinzi unakufatilia sana.......kwa imani yako.....omba sana hii roho ikutoke.........
Vingine.....@mshanajr atakuelekeza.........
Preta ulipotelea wapi aiseee! Au uliogopa kanuni za sheria ya mtandao?
 
Yote hayo ulio hota yaweza kuwa kinyume chake
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 hivi. Siku hizi nimekumbwa na ndoto za ajabu sana.

1. Kuota naongea na mbwa then mbwa anabadilika badilika, badae anakuwa kama mwanamke, halafu ananiomba nimfanye mapenzi, namfanya alafu anafurahi sana, anatamani niendelee

2. Kuota nahutubia watu, anakujua mtu ninayemfahamu anachukua nguo niliyovaa ya juu, nibaki kifua wazi. Namkimbiza simkamati

3.Kuota ndoto ZINAZOFANANA na ya mpenzi wangu. Yaani mimi niliota naenda kufanya mtihani wa somo ambalo sijasoma, nikawa naumia sana kuwa naenda kufeli. Na yeye aliota hivo hivo
Mimi usiku wa kuamkia leo nimeota mimejiunga na kundi flani la waasi ila ilikuwa ni kwa ushawishi wa mpenzi wangu,tukiwa ndani ya gwanda za kiuasi baada ya kupanga mipango yetu tukapanda pikipiki na kuondoka,cha ajabu tulikuwa 8 ila eti tulienea,ghafla kwa mbele tukawaona JWTZ halafu eti wakakoki bunduki kutuelekea....ghafla nikashtuka usingizini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom