Kimsingi hakuna jibu la moja kwa moja kwani, inatokea kwa bahati mbaya mtu akutane na hayo mazingira
wakati mwingine aweza kuwa mama mkwe au mawifi au wote kwa pamoja ILA mara nyingi msimamo wa Mwanamme kwa Kushirikiana na Mke wake huya shinda hayo yote
Mawifi wanachangia 70% mara nyingi wanapokuja kukutembelea pale huchukua maneno na kupeleka kwa mama yao, Na Mama atawasikiliza watoto wake. Tena usiombee huyo mwanaume ndo awe na vijihela, watakukalia kohoni kila mwez utawaona.
Kauli Ya Sisi Wahenga Ni Ndugu Hawawezi Kunifanya Nikosane Na Mke Wangu Na Mke Wangu Hawezi Kunifanya Nikosane Na Ndugu Zangu Shikilia Huo Msimamo Hakuna Atakayeyumbisha Ndoa Yako