Zee la mgundini
Member
- Mar 10, 2014
- 13
- 0
Naomba kujuzwa nimeibiwa sim tatu moja ya Huawei Y300, Nokia X2 na Nokia Asha 320. Je nifanyeje ili nizipate maana nasikiaga tu kwamba hizi smartphone ikiibiwa unaweza ukaitafuta. Naomba kuwakilisha waungwana wenzangu naitaji majibu mazuri kwa wana jf wenye kuelewa.