Faru12
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 391
- 235
Heshima kwenu wanajukwaa, naomba muongozo kwayeyote mwenye uelewa... Kuna gari ndogo cc1500 natarajia mwisho wamwezi huu itoke inchini burundi kuja hapa Tanzania, isajiliwe upya hapa Tz, sasa sijui wapi nianzie...
Nilipenda kufaham ma2, 3... (1)garama za TRA.
(2)pale Border kahama kipi kitahitajika ili gari ipite bila usumbufu wowote njianzima hadi kufika.
(3) naje kunaulazima wowote usajili wagari ufutwe huko huko Burundi? NB: Gari imesajiliwa Burundi platnumber niya Burundi. kwayeyote mwenye A,B,C ushauri nipohapa nitapokea. Asanteni
Nilipenda kufaham ma2, 3... (1)garama za TRA.
(2)pale Border kahama kipi kitahitajika ili gari ipite bila usumbufu wowote njianzima hadi kufika.
(3) naje kunaulazima wowote usajili wagari ufutwe huko huko Burundi? NB: Gari imesajiliwa Burundi platnumber niya Burundi. kwayeyote mwenye A,B,C ushauri nipohapa nitapokea. Asanteni