Naomba kujuzwa maswali yanayoulizwa kwenye Interview ya Tutorial Assistant

Naomba kujuzwa maswali yanayoulizwa kwenye Interview ya Tutorial Assistant

Course gan Mkuu maana zimetangazwa nyingi
 
Kuwa compitent tu kwenye kozi unayoomba kufundisha..pia kwa ziada uwe vizuri hapa kwa psychology..teaching methodologies... na kujiamini tuu..aanza kugoogle kama umesahau sahau..na maswali yanaongezeka au kupungua kadri na namna unavyojibu..
 
Back
Top Bottom