TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 3,206
- 5,438
Habari viongozi NAOMBA kujua Sheria inasema Nini Kama Mimi mtumishi wa Umma (ngazi ya Halmashauri) nitaamua kujiamisha kituo Cha Kazi Kama wao ofisi awajaniamisha kwa wakati). Je, Nini kinawez kutokea Kama nitajiamisha kwend kituo kngne ndan ya Halmashauri)
Kisa kipo hiv Kuna ndug alikuw katk ktuo x Kama Mwl Kiongozi lakn kutokan na nakupishan na mh. Diwan na Mwenye kit wa Kijiji wakanitengenezea propaganda Hadi akapumzishwa uongoz(demoted) sambamba wakaw wamemuacha Ndan ya kituo/shule hiYo hiYo naniaona hawana mpango wakumumisha Sasa anataka kujiamisha kwend shule nyingne nn kitatokea kisheria
Kisa kipo hiv Kuna ndug alikuw katk ktuo x Kama Mwl Kiongozi lakn kutokan na nakupishan na mh. Diwan na Mwenye kit wa Kijiji wakanitengenezea propaganda Hadi akapumzishwa uongoz(demoted) sambamba wakaw wamemuacha Ndan ya kituo/shule hiYo hiYo naniaona hawana mpango wakumumisha Sasa anataka kujiamisha kwend shule nyingne nn kitatokea kisheria