Spliffcharm
Senior Member
- Jun 21, 2020
- 124
- 345
Nunua chapa za kanada. Kuna kampuni inaitwa giga. Kama vipi nikupeleke mnazi mmoja lete ofa yako twende keshoWakuu JF kwema?
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, nahitaji msaada wa kujua ni balo aina gani la nguo za watoto, na nguo za Origin ya wapi zinakua quality nzuri kuuza kwa hapa Dar es salaam.
Wenye experience juu ya hili msaada tafadhali, Ahsante.
Mkuu naomba niPM namba yako ya simu.Nunua chapa za kanada. Kuna kampuni inaitwa giga. Kama vipi nikupeleke mnazi mmoja lete ofa yako twende kesho
Uliwahi kufanya hii kazi au utahitaji kupata idea kidogo tujadili hapa.. wanataka kufanya hii biashara wapate tips?Mkuu naomba niPM namba yako ya simu.
Shukrani sana
Tupe hizo tips mkuu na sisi tupate kujifunzaUliwahi kufanya hii kazi au utahitaji kupata idea kidogo tujadili hapa.. wanataka kufanya hii biashara wapate tips?
Hapana mkuu, nina maduka ya nightdress za mtumba tu. Hii ya watoto ni mara ya kwanza, itapendeza kama utashare na wengine wanufaikeUliwahi kufanya hii kazi au utahitaji kupata idea kidogo tujadili hapa.. wanataka kufanya hii biashara wapate tips?
Shida ya biashara ya viatu inawafelishaga watu sehem moja.Sir Midabwada vipi kuhusu mabalo ya viatu, msaada tafadhali.
Unataka msaada wa aina gan???Sir Midabwada vipi kuhusu mabalo ya viatu, msaada tafadhali.
Unataka viatu vya aina gani Kuna raba Kali kwabei ya 5500 na ni mpyaSir Midabwada vipi kuhusu mabalo ya viatu, msaada tafadhali.
Kasulu ipi? Kasulu hapo hakuna mitumba hata grade C hupati, huko ni zile grade ya mwisho ya sh 1000/nunua chapa za canada, hapa kasulu ni bei rahisi kuliko dar es salaam maana zinatokea hapo Congo.
Kwani bei anapanga mnunuaji? Kwa manufaa ya umma ilibidi ufunguke hapahapa.Nunua chapa za kanada. Kuna kampuni inaitwa giga. Kama vipi nikupeleke mnazi mmoja lete ofa yako twende kesho
Bei inatofaytiana maduk mengine wanauza 520 mengine 480Kwani bei anapanga mnunuaji? Kwa manufaa ya umma ilibidi ufunguke hapahapa.