Naomba kujua ili tatizo

Naomba kujua ili tatizo

inaweza ikawa PID, pelvic infection disease..nenda hopstal
kawaida hutokea wakati bakteria wa zinaa kuenea kutoka kwenye uke kwenda mpaka tumboni,,ndomana unasikia maumivu hayo.
 
hiyo....ni appendicity tu...ukilala kifudi fudi kwa kujishitukiza ni lazima uwe kama unajitonesha...na hizo ni dalili za mwanzo...baada ya muda utaanza kujisikia kichefu chefu...nahisi ulikuwa unapenda sana kula udongo...ama daga wenye michanga...wahi hospitali..
 
Back
Top Bottom