😳🤣🤣Mpaka tuamke? Si utakuwa umekula mkuuNajua mmelala ila mkiwa macho naombeni msaada
Kichomi natural au man made? Kuwa wazi mkuuHabari za usiku wa jf usiku huu mwenzenu nashindwa kulala naombeni dawa ya kichomi ni dawa gani unitumie Maana sijawahi umwa kichomi hivi
unajiskiaje tuelezee kidogo ni ni kichomi sehem ganDaah nakufa mkuu
Kichomi natural au man made? Kuwa wazi mkuu
Relax,em relax kwanza.....jilaze kifudifudi Yaan nyoka kabisa.....vuta pumzi tulia Kwa muda.Ukiona bado mwite jirani akusindikize to hospital pleaseeNimekunywa sana Mkuu ila kimegoma kuachia ila nipo maeneo ya joto pia mkuu
Septrine then kunywa nne mara 3 utanishukuru me zimewahi nisaidia sanaNimekunywa sana Mkuu ila kimegoma kuachia ila nipo maeneo ya joto pia mkuu