HAMADI RASHIDI
New Member
- May 12, 2019
- 1
- 2
Naomba kujua Dawa asilia Ya Vidonda vya tumbo maana nimetumia sana modern drugs still I don't see any changes
pole sana,kuna mtu alisumbuliwa na vidonda mda mrefu na sasa amepona kabisa nilipomuuliza ametumia dawa gani akanijibu ametumia magome ya mti wa mlimao unachemsha kwenye maji dozi asubuhi kikombe kimoja na jioni kimoja kwa muda wa wiki moja akawa ameponaNaombaaa kujua Dawa asilia Ya Vidonda vya tumbo maana nimetumia Sana modern drugs still I don't see any changes
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.Naombaaa kujua Dawa asilia Ya Vidonda vya tumbo maana nimetumia Sana modern drugs still I don't see any changes
Mkuu nzaghamba magome hayo hata yakiwa mabichi au mpaka yaanikwe yakauke kwanza?pole sana,kuna mtu alisumbuliwa na vidonda mda mrefu na sasa amepona kabisa nilipomuuliza ametumia dawa gani akanijibu ametumia magome ya mti wa mlimao unachemsha kwenye maji dozi asubuhi kikombe kimoja na jioni kimoja kwa muda wa wiki moja akawa amepona
UliponaShukrani sana nzaghamba