Naomba kufahamu kuhusu course ya biomedical engineering

Mwarabu Faita

Member
Joined
May 30, 2018
Posts
8
Reaction score
2
Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
 
Nakushauri ukasome, kwa sasaivi biomedical engineers sio wengi kwa iyo fursa zipo, na wanalipwa poa
 
Ni kozi ya engineering bora kati ya zote kwenye soko la ajira la ndani na nje ya nchi
 
Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
Kwa hiyo wewe umejuinga JF ukiwa form 4....
 
Ajira zao wanakuwa wanaajiriwa kwenye hospital kabisa au wanafanya nje ya hospital
 
Zaidi ya division 1 ya point tano 5, usihangaike.
 
Mimi nimemaliza form six na sasa hivi nataka kusomea biomedical engineering ila sina ufahamu zaidi juu ya hiyo course na ajira zake kwahiyo mwenye ufahamu naomba anielekeze tafadhali
Unajua yanayo wakuta watu wa petrolium?Kama kaka yako naushauri usisome hii kozi unless uwe na coneksheni au umetokea chato.

Kama unapenda engineering kasome civil au electrical.



Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…