Naomba kufahamishwa tu

Naomba kufahamishwa tu

Lord K

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
213
Reaction score
37
Hivi lile jengo lililobaki na ufa pale mtaa wa Indira Ghandi tuliloambiwa litabomolewa baada ya kuporomoka kwa lile la ghorofa 16 na kuua Watanzania zaidi ya 30 ...hili sakata liliishia wapi?

Nawasilisha..
 
Hivi lile jengo lililobaki na ufa pale mtaa wa Indira Ghandi tuliloambiwa litabomolewa baada ya kuporomoka kwa lile la ghorofa 16 na kuua Watanzania zaidi ya 30 ...hili sakata liliishia wapi?

Nawasilisha..

Muulize mwanacham mwenzetu aitwaye Mh. Anna Tibaijuka

Najua atakujibu tu hili suali kwa kuwa ana utamaduni wa kujibu maswali hapa jamvini
 
Last edited by a moderator:
Hivi lile jengo lililobaki na ufa pale mtaa wa Indira Ghandi tuliloambiwa litabomolewa baada ya kuporomoka kwa lile la ghorofa 16 na kuua Watanzania zaidi ya 30 ...hili sakata liliishia wapi?

Nawasilisha..
Mambo mengine si lazima ulete jf kamuulize waziri TIBAIJUKA pale ofisini pake au ktk mikutano ya kisiasa anayohudhuria.
 
Hivi lile jengo lililobaki na ufa pale mtaa wa Indira Ghandi tuliloambiwa litabomolewa baada ya kuporomoka kwa lile la ghorofa 16 na kuua Watanzania zaidi ya 30 ...hili sakata liliishia wapi?

Nawasilisha..

kwenye uzia penyeza rupia
 
Back
Top Bottom