Naomba kufahamishwa Priorities za Rais wangu. Haiwezekani roho 35 zipotee na asihudhurie

Riziki Mohammed

Senior Member
Mar 4, 2017
118
205
Uchama pembeni, Siasa pembeni.

This is a State issue.

Kama anaumwa ilibidi aletwe hata kwa Machela. Laiti ningemuona kwenye kuaga Roho 35, hakika ningemuunga mkono na kuamini kuwa madhaifu yanayosemwa dhidi yake anachostahili ni kusaidiwa na kuungws mkono, maana ukosoaji hausaidii.

Magufuli umeniangusha. Kama ishu ni fedha sema tukuchangie lakini sio kuzipata kwa njia ya kutrick akili zetu....Unatuhitaji sana.

JF saivi yenyewe inaogopa, sio kwamba haioni ukweli...ndio maana ni mwendo wa ku-merge thread tu. They're trying their best.

TISS fanyeni kazi ya Usalama wa Taifa, sio kazi za CCM. Kwasasa sitishiki tena hata mje mniteke...roho 35 ni bora kuliko roho yangu 1. Nipo Tegeta kibaoni.

Rias kama utaendelea na huu mtindo mimi roho 1 ninaweza kukukomesha...ntaenda Sheli na kununua Petrol ya lita 5 na kujimwagia kisha kujipiga kibiriti hadharani huku tayari nikiwa nimesha set Live Streaming kwenye Account yangu ya YouTube halafu tuone kama huo Muziki utaucheza.

Mimi sio Awa Adabo ati unifukuze nchini ndani ya masaa 24, hii Ardhi ni yangu kama Cain na Abel watoto wa Adam, hunitoi...labda uniwahi kwa kuninyonga.
 
Ungekuwepo Arusha na kumsikiliza vizuri mama Samia nadhani ungeelewa. Ameeleza vizuri sana na watu wamemuelewa...kwahiyo Magufuri alikuwepo ktk msiba ule, yaani watanzania bwana mnataka idara zote zirundikane hapo....wengine walikuwa Tanga kwa wale wengine
 
Ungekuwepo Arusha na kumsikiliza vizuri mama Samia nadhani ungeelewa. Ameeleza vizuri sana na watu wamemuelewa...kwahiyo Magufuri alikuwepo ktk msiba ule, yaani watanzania bwana mnataka idara zote zirundikane hapo....wengine walikuwa Tanga kwa wale wengine
Ilikuwa na uzito kama angekuja yeye mwenyewe! Hakuwa na excuse yeyote kutofika arusha maana najua ameshinda tu hakuna cha maana saana amekifanya kinachozidi utu wa kufika kuwaaga na kufariji wafiwa
 
utu,hekima na busara havipatikani shuleni,kazini wala ikulu bali ni karama toka kwaMungu ongeza na malezi sahihi hasa ya kiroho!!
Wapo watu wanaoamini vitu ni vyamuhimu kuliko watu...zamani kunawatu walijali ng'ombe kuliko watoto Wao,wengine hujali barabara na wanyamapori kuliko binadamu wenzao! Inasikitisha saaana... Ukiwa Rais wewe nibaba wa Taifa kimajukumu...lets live and learn
 
Ilikuwa na uzito kama angekuja yeye mwenyewe! Hakuwa na excuse yeyote kutofika arusha maana najua ameshinda tu hakuna cha maana saana amekifanya kinachozidi utu wa kufika kuwaaga na kufariji wafiwa
Hapana...tusiwe tunalaumu sana kitu ambacho hatujui sana....nashangaa unaposema "hakuna cha maana amekifanya" sidhani kama kuna kitu Rais akiwa anakifanya hukushirikisha ili ujue???? Sina imani....tusimfikirie tofauti Rais wetu
 
Uchama pembeni, Siasa pembeni.

This is a State issue.

Kama anaumwa ilibidi aletwe hata kwa Machela. Laiti ningemuona kwenye kuaga Roho 35, hakika ningemuunga mkono na kuamini kuwa madhaifu yanayosemwa dhidi yake anachostahili ni kusaidiwa na kuungws mkono, maana ukosoaji hausaidii.

Magufuli umeniangusha. Kama ishu ni fedha sema tukuchangie lakini sio kuzipata kwa njia ya kutrick akili zetu....Unatuhitaji sana.

JF saivi yenyewe inaogopa, sio kwamba haioni ukweli...ndio maana ni mwendo wa ku-merge thread tu. They're trying their best.

TISS fanyeni kazi ya Usalama wa Taifa, sio kazi za CCM. Kwasasa sitishiki tena hata mje mniteke...roho 35 ni bora kuliko roho yangu 1. Nipo Tegeta kibaoni.
Unajua kwa siku wana kufa watanzania wangapi? Sijui nyie mimi nimeona vifo vingi hata sioni tofauti kati ya kifo kimoja na 30. Kwenye hili suala nipo concerned na chanzo za ajali na precautions serikali itachukua.
 
mbona hamlaumu mbunge wetu wkt jpm yupo ktk jimbo lake la ubungo anafungua nyumba za wanafunzi yeye hayupo ,hilo amlioni
 
joka kuu,achana nao,asiyejua maana usimpe maana,ukimpa maana atakuona huna maana.achana nao wamefeli kimawazo
 
Back
Top Bottom