Naomba kuelimishwa.

mpuko

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
662
Reaction score
552
Nina simu yangu HTC wildfire s. Inakataa ku-conect na internet. Nifanyeje? Natumai msaada kutoka kwenu. Ahsanteni.
 

.
Use you r brain to change you r age....
KINDA HOLLA
.
yaani ina maana hukielewi unacho jibu....
.
It's TGS and not jukwaa la utani na vichekesho...
Jaribu kutulia bwana mdogo ili u enjoy kuwa na mod mpole....
.
Au ndo mnaanza kuchanganyikiwa na kitu cha february
.
 
Nina simu yangu HTC wildfire s. Inakataa ku-conect na internet. Nifanyeje? Natumai msaada kutoka kwenu. Ahsanteni.

Hiyo simu imekosa APN settings. Nenda settings - mobile networks- access point names halafu kama hakuna create new. Na kwenye proxy weka NOT SET
 
Ahsante ymollel. Ngoja nifanye hivyo. Nikikwama nitarudi.
 
Ahsante sana ymollel. Nimefanikiwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…