Kalu20 Senior Member Joined Aug 20, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Mar 8, 2018 #1 Wadau salamu. Naomba kuelimishwa juu ya GS1 TZ na kwann inatoa huduma zake ( Barcode) kwa gharama kubwa kuliko GS1 Kenya!
Wadau salamu. Naomba kuelimishwa juu ya GS1 TZ na kwann inatoa huduma zake ( Barcode) kwa gharama kubwa kuliko GS1 Kenya!
Mashimba Son JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 1,130 Reaction score 1,402 Mar 8, 2018 #2 Na simu zao walizoweka kwenye website hazipokelewi hata ukipiga mwaka mzima Pia gharama zao siyo rafiki kwa mjasiriamali.
Na simu zao walizoweka kwenye website hazipokelewi hata ukipiga mwaka mzima Pia gharama zao siyo rafiki kwa mjasiriamali.
Kalu20 Senior Member Joined Aug 20, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Mar 9, 2018 Thread starter #3 Mashimba Son said: Na simu zao walizoweka kwenye website hazipokelewi hata ukipiga mwaka mzima Pia gharama zao siyo rafiki kwa mjasiriamali. Click to expand... Ni kweli kabisa @ Mashimba son
Mashimba Son said: Na simu zao walizoweka kwenye website hazipokelewi hata ukipiga mwaka mzima Pia gharama zao siyo rafiki kwa mjasiriamali. Click to expand... Ni kweli kabisa @ Mashimba son
T Tagalile S. Tagalile Senior Member Joined Jan 21, 2013 Posts 117 Reaction score 58 Mar 10, 2018 #4 Bila shaka wata update