Obby18
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 212
- 172
Salam wakuu.
Niliaply vyuo viwili second round ambavyo ni DIT na MUST. MUST walinijibu mapema sana kuwa nimechaguliw lakini DIT wamechelewa sana wamenijibu juzi kuwa nimechaguliwa lakini Inatakiwa niweke code nikonfirm.sasa naomben mnieleweshe yafuatayo wakuu.
1) nikikonfirm DIT inamaana MUST watanicancel au hawatocancel na itaonekana nipo kwenye vyuo vyote viwili, kumbuka MUST sijadaiwa code wao wamenichagua moja kwa moja kama vile niliaply chuo hicho tu kumbe siyo niliaply sehemu mbili.
2)Hii hali haitaleta mkanganyiko bodi ya mkopo kama nitakonfirm DIT??
3)Na nisipo confirm inamaanisha nitaenda MUST au??
Interest yangu ilikuwa DIT
All in all TCU achaneni na hii system inatucost sana aisee

Niliaply vyuo viwili second round ambavyo ni DIT na MUST. MUST walinijibu mapema sana kuwa nimechaguliw lakini DIT wamechelewa sana wamenijibu juzi kuwa nimechaguliwa lakini Inatakiwa niweke code nikonfirm.sasa naomben mnieleweshe yafuatayo wakuu.
1) nikikonfirm DIT inamaana MUST watanicancel au hawatocancel na itaonekana nipo kwenye vyuo vyote viwili, kumbuka MUST sijadaiwa code wao wamenichagua moja kwa moja kama vile niliaply chuo hicho tu kumbe siyo niliaply sehemu mbili.
2)Hii hali haitaleta mkanganyiko bodi ya mkopo kama nitakonfirm DIT??
3)Na nisipo confirm inamaanisha nitaenda MUST au??
Interest yangu ilikuwa DIT
All in all TCU achaneni na hii system inatucost sana aisee

