Naomba kazi ya record management

Naomba kazi ya record management

Cunta

Member
Joined
Sep 20, 2018
Posts
5
Reaction score
1
Habari,mimi ni msichan mweny miaka23 naishi morogoro niliehitim diploma katik chuo cha utumishi wa umma tanga.Naomba nafsi ya record au nje na record.
Kwa mawasiliano 0758304560
 
Habari,mimi ni msichan mweny miaka23 naishi morogoro niliehitim diploma katik chuo cha utumishi wa umma tanga.Naomba nafsi ya record au nje na record.
Kwa mawasiliano 0758304560
Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Habari,mimi ni msichan mweny miaka23 naishi morogoro niliehitim diploma katik chuo cha utumishi wa umma tanga.Naomba nafsi ya record au nje na record.
Kwa mawasiliano 0758304560
Umejaribu kupitia website za ajira mfano zoom
Nilisha ona post za fani yako
 
Jaribu na kufanya biashara ndogo ndogo kama kuuza Juice, Chapati na Chakula in a different way, isiwe kama wale akina mama nitilie. Mfano tafuta watu 10 wa oda ya chakula kila siku , then wapikie hao uone.
Hizo ajira za records zitakuja lini?!
 
Hizo namba ulizoweka kuwa makini dada yangu kuna matapeli watatumia fursa ya kukupatia kazi wakutapeli pia kuna waathirika watatoka dar kuja tanga kukurarua.
Ni hayo tu.
 
Jaribu na kufanya biashara ndogo ndogo kama kuuza Juice, Chapati na Chakula in a different way, isiwe kama wale akina mama nitilie. Mfano tafuta watu 10 wa oda ya chakula kila siku , then wapikie hao uone.
Hizo ajira za records zitakuja lini?!
it should be noted
 
Ajira za records ni moja kati ya ajira zinazotangazwa sana ajira.go.tz na halmashauri mbalimbali muhimu kuwa updated na website za ajira mbalimbali dada kila la kheri.
 
Back
Top Bottom