Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Binafsi sioni malengo yetu ya kizalenda ya kutaka tuaminike. Tunahitaji wazee wenye busara washauri upya uongozi. Wanatakiwa wawambie viongozi mipaka na miiko ya taifa.
Bila hayo tutafutika katika mioyo ya watu.
Wakati wa suala la kutaka taifa likatiwe misaada kuna watu walisema TL amepotea na amekosea. Leo amechoma taifa kwa wadai wetu eti ili apate kutawala.
Si vema kukaa kimya. Chama kiangalia kwa upana wake na kuona busara za wazee hata 10 wanaoweza shauri juu ya misingi ya kiuongozi.
Bila hivyo tutapotea.
Mtei uko wapi babu!!!
Bila hayo tutafutika katika mioyo ya watu.
Wakati wa suala la kutaka taifa likatiwe misaada kuna watu walisema TL amepotea na amekosea. Leo amechoma taifa kwa wadai wetu eti ili apate kutawala.
Si vema kukaa kimya. Chama kiangalia kwa upana wake na kuona busara za wazee hata 10 wanaoweza shauri juu ya misingi ya kiuongozi.
Bila hivyo tutapotea.
Mtei uko wapi babu!!!