Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Kwa niaba ya Benki ya NMB
Tunapenda kukujuza ndugu mteja/mwanafamilia ambaye upo kwenye kikundi chenye lengo la kusaidiana katika majanga kama kifo, tumekuja na Bima maalum iitwayo ( Group funeral Cover) yenye lengo la kusaidia vikundi na wanakikundi hasa katika janga la kifo..!Kweli NMB Karibu Yako!
lko hivi!!
Kikundi cha watu 15+ na umri wa miaka 18-70 wanaweza kukata bima ili kufidiwa pale janga la kifo linapotokea.
Bima hii iko katika vifurushi 3
1. BRONZE
Kila mwanakikundi atachangia TSh. 500 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
Kila mwanakikundi atachangia TSh. 1,200 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
Kila mwanakikundi atachangia Tsh.2,000 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
Kwa maelezo zaidi,tembelea tawi lolote la Benki ya NMB lililopo karibu na wewe Majibu kamili kutoka kwa idara husika NMB:
Swali: Je kama mtu ana magroup zaidi ya moja anaruhusiwa kujiunga yote au kuchagua moja?
Jibu: Anaruhusiwa kujiunga kwenye kila group alilokuwepo mradi tu atalipia kwa kila group na pia atalipwa haki zake kupitia kila group alilokuwepo mpka kiwango cha juu kabisa cha Milion 15.
Swali: Je group linatakiwa kuleta document yoyote wakati wa kujiunga?
Jibu: Ndio na ni muhustari wa group unaoambatana na majina ya wanagroup wote. Ikionyesha namba zao za NIDA,auKadi ya mpiga kura, au leseni ya kuendesha gari, au hati ya kusafiria na kama wako nje ya nchi watahusika wale ambao ni watanzania tu na ambao wana NIDA, au kadi ya mpiga kura, au hati ya kusafiria au leseni ya kuendesha gari
Swali: Ni kwa nini hamkuweka wazazi?
Jibu: Wazazi wapo ila ni wa mchangiaji tu na si wakwe ila kwa bima ya gold mchango ni 8,500 kwa mwezi hivyo 102,000 kwa mwaka.Silver 5,500 kwa mwezi 60,000 kwa mwaka na Bronze 2,500 kwa mwezi na 30,000 kwa mwaka.
Swali: Je malipo yanafanyika kwa kila mwezi au kwa namna ipi?
Jibu: Wanagroup watalipa ada yao yote ya mwaka kwa mkupuo. Kwa gold ni 24,000 bila wazazi 102,000 wakiwepo wazazi.
Swali: Je mchangiaji ataanza kulipwa baada ya muda gani toka amejiunga na kutimiza taratibu zote?
Jibu: Hakuna kusuburi ni baada tu ya malipo kufanyika. Kuanzia hapo anakuwa na stahiki zote.
Swali: Je nani ataleta madai hapo benki na anakuja na nyaraka gani?
Jibu: Pesa italipwa kwa Admin wa group na yeye ndiye atampatia muhusika na au wale wote group itakaowapendekeza kwenye muhustasari wao.nyaraka zinazotakiwa wakati wa madai, Cheti cha kifo au kibali cha mazishi , na fomu ya madai.
Swali: Je kama group ni la familia na wamejiunga kifurushi chenye wazazi na watoto wapo 6 wanafiwa na Mzazi mmoja je malipo yanakuwaje?
Jibu: Kila mwanagroup atalipwa kwa kuwa alichanga.
NB: Familia haiwezi kuwa kikundi lakini familia moja inaruhusiwa wote kila mmoja kuwa mwanachama wa kikundi fulani.
Nimekuwa nikiona unatembea sana Kwenye Magroup ya WhatsApp.
Tunapenda kukujuza ndugu mteja/mwanafamilia ambaye upo kwenye kikundi chenye lengo la kusaidiana katika majanga kama kifo, tumekuja na Bima maalum iitwayo ( Group funeral Cover) yenye lengo la kusaidia vikundi na wanakikundi hasa katika janga la kifo..!Kweli NMB Karibu Yako!
lko hivi!!
Kikundi cha watu 15+ na umri wa miaka 18-70 wanaweza kukata bima ili kufidiwa pale janga la kifo linapotokea.
Bima hii iko katika vifurushi 3
1. BRONZE
Kila mwanakikundi atachangia TSh. 500 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
- Mwanakikundi -1,000,000/=
- Mke/Mme - 1,000,000/=
- Watoto hadi 4 - 500,000/=
Kila mwanakikundi atachangia TSh. 1,200 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
- Mwanakikundi -3,000,000/=
- Mke/Mme - 2,000,000/=
- Watoto hadi 4 - 1,000,000/=
Kila mwanakikundi atachangia Tsh.2,000 X 12 miezi; Na fidia itatolewa
- Mwanakikundi -5,000,000/=
- Mke/Mme - 4,000,000/=
- Watoto hadi 4 - 1,000,000/=
Kwa maelezo zaidi,tembelea tawi lolote la Benki ya NMB lililopo karibu na wewe Majibu kamili kutoka kwa idara husika NMB:
Swali: Je kama mtu ana magroup zaidi ya moja anaruhusiwa kujiunga yote au kuchagua moja?
Jibu: Anaruhusiwa kujiunga kwenye kila group alilokuwepo mradi tu atalipia kwa kila group na pia atalipwa haki zake kupitia kila group alilokuwepo mpka kiwango cha juu kabisa cha Milion 15.
Swali: Je group linatakiwa kuleta document yoyote wakati wa kujiunga?
Jibu: Ndio na ni muhustari wa group unaoambatana na majina ya wanagroup wote. Ikionyesha namba zao za NIDA,auKadi ya mpiga kura, au leseni ya kuendesha gari, au hati ya kusafiria na kama wako nje ya nchi watahusika wale ambao ni watanzania tu na ambao wana NIDA, au kadi ya mpiga kura, au hati ya kusafiria au leseni ya kuendesha gari
Swali: Ni kwa nini hamkuweka wazazi?
Jibu: Wazazi wapo ila ni wa mchangiaji tu na si wakwe ila kwa bima ya gold mchango ni 8,500 kwa mwezi hivyo 102,000 kwa mwaka.Silver 5,500 kwa mwezi 60,000 kwa mwaka na Bronze 2,500 kwa mwezi na 30,000 kwa mwaka.
Swali: Je malipo yanafanyika kwa kila mwezi au kwa namna ipi?
Jibu: Wanagroup watalipa ada yao yote ya mwaka kwa mkupuo. Kwa gold ni 24,000 bila wazazi 102,000 wakiwepo wazazi.
Swali: Je mchangiaji ataanza kulipwa baada ya muda gani toka amejiunga na kutimiza taratibu zote?
Jibu: Hakuna kusuburi ni baada tu ya malipo kufanyika. Kuanzia hapo anakuwa na stahiki zote.
Swali: Je nani ataleta madai hapo benki na anakuja na nyaraka gani?
Jibu: Pesa italipwa kwa Admin wa group na yeye ndiye atampatia muhusika na au wale wote group itakaowapendekeza kwenye muhustasari wao.nyaraka zinazotakiwa wakati wa madai, Cheti cha kifo au kibali cha mazishi , na fomu ya madai.
Swali: Je kama group ni la familia na wamejiunga kifurushi chenye wazazi na watoto wapo 6 wanafiwa na Mzazi mmoja je malipo yanakuwaje?
Jibu: Kila mwanagroup atalipwa kwa kuwa alichanga.
NB: Familia haiwezi kuwa kikundi lakini familia moja inaruhusiwa wote kila mmoja kuwa mwanachama wa kikundi fulani.
Nimekuwa nikiona unatembea sana Kwenye Magroup ya WhatsApp.