maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,144 15,144 Jan 30, 2017 #2 Tangu lini kali ikafanana na chungu..... Muache Messi aitwe Messi
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Jan 30, 2017 #3 Messi iache hiyo mutu hapana muchezo mutu inajua kuchezea mupira nataka niisajili tupa wazembe huku congo ije ile sokwe
Messi iache hiyo mutu hapana muchezo mutu inajua kuchezea mupira nataka niisajili tupa wazembe huku congo ije ile sokwe
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Jan 31, 2017 #4 Kila mmoja ana uwezo wake binafsi, sikatai. Ila kiumbe cha kuitwa MESSI ni kitu kingine kabisa. Hapana chezea MESSI hata kidogo
Kila mmoja ana uwezo wake binafsi, sikatai. Ila kiumbe cha kuitwa MESSI ni kitu kingine kabisa. Hapana chezea MESSI hata kidogo