Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Mtatiro ni CUF sio chadema wa chadema kajitoa ila hii contradiction wanayo wengi kudhani mtatiro ni chadema na ukiskiliza viongozi wanasema chagua chadema urais mpaka udiwani. So ni advantage kwa Bonah
Habarini za asubuhi wanaJF, naombeni maoni yenu ni nani atakayeshinda ubunge kati ya Julias Mtatiro CUF, Frank Mwikongi ACTWazalemdo na Bonah Kalua....siku zimebaki chache
Mtatiro ni CUF sio chadema wa chadema kajitoa ila hii contradiction wanayo wengi kudhani mtatiro ni chadema na ukiskiliza viongozi wanasema chagua chadema urais mpaka udiwani. So ni advantage kwa Bonah
Hapo ndo mkwara wa Ukawa hauna maana.
Chadema wamesimamishaje mgombea Segerea?
Na ndo hao hao waliokuwa wamempiga pini mtatiro hapo mwanzo.
Watagawana kura Cuf, ACT na Chadema afu itakula kwao