Nani kama mama???!!!!

Hakuna kama mama. Amin amin amin.....nakupenda sana mama yangu
 
Kweli hakuna kama mama hapa duniani

True....ukikumbuka those sleepless night alizokua nazo wakati wewe ukiwa mgonjwa na jinsi alivokua akikosa amani.....kwa kweli mungu awape kila aina ya baraka mama zetu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…