ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
ChelseaIkiwa draw ya clab bingwa ulaya imepangwa leo....iko hv Buyern v Real Madrid na Chelsea v Atletico Madrid......Je unafikiri timu gani itaibuka kuwa bingwa kati ya hizo.
Musikasirike ila kama ningekuwa mtabiri ningewambia watu atletico madrid mwaka waoKamuulize tb joshua
Chelsea tupo vizuri nyie
R madridA madrid au R madrid.
funguka mkuu.
Chelsea