Nani atupe...

Nani atupe...

mzanzibara-

Senior Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
179
Reaction score
59
Ndani ya meli,watu makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo tele,Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele" Muhindi Akamwaga kiroba cha tambuu akasema kwetu zipo kibao, Mmasai akatupa shanga.. Mchaga anahaha hajui atupe nini kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla alimtumbukiza Mmasai akasema"Yesu na maria hawa wapo tere ARUSHA"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom