Nimesikia DJ Mbowe akisema kwamba Wananchi wakishapiga kura wasiondoke na wakeshe hapo hapo!
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali nan isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?
Matokeo yatabandikwa kituoni.
TUME YA UCHAGUZI.
Matokeo yatabandikwa kituoni.
TUME YA UCHAGUZI.
Tukakeshe wapi rafiki yangu unajielewa?
Fanya mpango mapema maana siku zinayoyoma,tukishapiga kura wanawake nyumbani kupika wanaume mnabaki kulinda kura.
Msosi tunawaletea hukohuko vituoni.
Ni jambo jema kuondoa hisia za kuibiwa kura.Tutakesha mpaka kieleweke...hakuna kulala
Nimesikia DJ Mbowe akisema kwamba Wananchi wakishapiga kura wasiondoke na wakeshe hapo hapo!
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali halafu isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?
Nimesikia Mbowe akisema kwamba Wananchi wakishapiga kura wasiondoke na wakeshe hapo hapo!
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali halafu isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?
HIYO SHERIA IPO IBARA GANI INAYOKATAZA WATU WASIKUSANYIKE BILA KIBALI? HIVI MNAVYOKUSANYIKA KILA SIKU UBUNGO MKISUBIRI DALADALA UBUNGO,POASTA NA SEHEMU ZINGINE MNACHUKUAGA KIBALI? ACHA UTOTO
Nimesikia Mbowe akisema kwamba Wananchi wakishapiga kura wasiondoke na wakeshe hapo hapo!
Sasa swali langu ni Je, ni nani atawaruhusu kufanya hivyo, wakati kuna sheria ya nchi inayokataza kukusanyika bila ya kibali halafu isitoshe usiku kucha?
Je huku siyo kutafuta shari pasipo hata na sababu? Kama hamna Imani na Tume yetu ya uchaguzi ni kwanini hata mnaingia basi kwenye uchaguzi?
HIYO SHERIA IPO IBARA GANI INAYOKATAZA WATU WASIKUSANYIKE BILA KIBALI? HIVI MNAVYOKUSANYIKA KILA SIKU UBUNGO MKISUBIRI DALADALA UBUNGO,POASTA NA SEHEMU ZINGINE MNACHUKUAGA KIBALI? ACHA UTOTO
Kumbuka hapa fisadi Lowasa na Mbowe wanawaambia watu wakeshe wamepiga kambi, sasa hakunaanayekesha Ubungo, watu husubiri usafiri ukija basi hurejea nyumbani kwao!