Nani ataibuka mshindi kama Anthony Joshua na Floyd Mayweather wakipangiwa pambano

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Hebu eleze kulingana na vigezo hivi
Speed(uharakawalionao je unazidiana au unalingana)
Weight(uzito wao)
Height(urefu)
Check hizi highlight
Kwa Anthony Joshua'

Alafu check za Floyd mayweather




Note:Mimi sio mfuatiliaji sana kwa hiyo sina uhakika juu uandaaji Wa mapambano haya ila ni mtazamaji Wa kawaida
 
Kuna Jamaa alikuwa anauliza kwenye mtandao flani unaitwa quota ila kwa majibu aliyopata ni haya haya kuwa haeawezi pambanishwa kutokana na uzito wao but nilivutiwa sana na Anthony Jamaa yuko vizuri nikasema moyoni je hawawazi kupambana kisa uzito kwa sababu ndo sheria day! Nilikuwa sifaham kuhusu ilo kama ni sheria wadau ila ndo mchezi napenda kuliko ball
 
Kuna Jamaa alikuwa anauliza kwenye mtandao flani unaitwa quota ila kwa majibu aliyopata ni haya haya kuwa haeawezi pambanishwa kutokana na uzito wao but nilivutiwa sana na Anthony Jamaa yuko vizuri nikasema moyoni je hawawazi kupambana kisa uzito kwa sababu ndo sheria day! Nilikuwa sifaham kuhusu ilo kama ni sheria wadau ila ndo mchezi napenda kuliko ball

Kwa macho ya kawaida kabisa unaona wanalingana ? Yan ile kwa kuangalia tu tofauti ya body size huoni ni unfair kuwapambanisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayweather ni sawa na Simba ya kina Kagere na Anthony Joshua ni sawa na Barcelona ya kina Messi.
 
Kuna Jamaa alikuwa anauliza kwenye mtandao flani unaitwa quota ila kwa majibu aliyopata ni haya haya kuwa haeawezi pambanishwa kutokana na uzito wao but nilivutiwa sana na Anthony Jamaa yuko vizuri nikasema moyoni je hawawazi kupambana kisa uzito kwa sababu ndo sheria day! Nilikuwa sifaham kuhusu ilo kama ni sheria wadau ila ndo mchezi napenda kuliko ball
Quora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom