Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 499
- 1,487
Kuna wajinga waliomjulia Instagram wanamuona Le Mutuz kama alikuwa mjinga, hao hatuwalaumu lkn deep down wakongwe wote wanajua msela AKILI alikuwa nazo na alikuwa anauwezo wa kujenga hoja kivyovyote vile japo MAISHA na MATATIZO hasa familia yake na familia ya dingi yake vilimchanganya mpaka kujichetua akili.William hata kama ni kusaidiwa haikuwa kama yatima. Hao washkaji zake wanajua influence na akili yake ndio maana walimuweka karibu na kumpa vitu mbalimbali.
Kama kupewa Noah na apartment ni rahisi jaribu wewe upewe bure gari na nyumba for more than 10 years. William amewasaidia wanasiasa wengi gizani kupitia uzoefu na influence ya mitandaoni hasa humu JF.
hawatoelewa, bora kaongea hapo hadharaniKatika jambo ambalo naona haliko sawa hadi leo ni suala la Kuanza kutaja madeni ya marehemu msibani kama kuna mtu anamdai why asiifate familia kumtunzia heshima marehemu?
Kwenye msiba wa Lemutuz yule Pinto anasema nyumba aliyokuwa anaishi lemutuz ni yake hata Gari noah alimuazima sio ya Lemutuz[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Why tunawavua nguo marehemu?
Sio utamaduni mzuri nadhani hili inabdi lipitiwe upya na kurekebishwaa.
Binafsi kuna msiba fulani wa Ndugu yangu jamaa wa karibu sana ambae kiukweli alisimama hadharani kuanza kutaja kiasi anachomdai Marehemu toka siku ile nilimshusha sana vyeo na kuona hajitambui maana kama familia angetufata sidhani kama tungekataaa.
Mtu anaongelea Haso alizopitia marehemu, na ni wazi malecela alikuwa hamjali mwanae wa kwanza... Umesahau JPM alivyoweka wazi mbele ya msiba wa masaburi kwamba anafaham marehemu anawatoto wengi zaidi ya hao waliotajwa. Haipo sehem alipomdai marehemu chochote. Just narration.. sasa ndg mnapagawa..HAPANA ila hakukua na haja ya kusema suala la nyumba na gari kamuazima mbele ya umati ni kumdhalilisha marehemu laiti angekuwa ni ndugu yako ungeelewa hili.
Pinto akili kubwazLazima ijulikane anayemdai na anayedaiwa na Marehemu kubwa ni deni lilipwe ili Marehemu apumzike kwa Amani.... Pinto yupo sahihi asingesema kuhusu vitu vyake angevipataje ndugu si wangeingiza kwenye mali za marehemu?
Ishi huku ukijua utakufa muda wowote usijisahau kama vile utaishi milele wakati haiwezekani.
Hakuna msala wowote, kama hawana kitu hiyo imeisha. Mali za marehemu kama zipo ndo zitalipa deni!Huwezi kuzika maiti inayodaiwa madeni wanaomdai wanajitokeza hadharani ila sio kutaja maana wanaenda kuongea na wana wafamilia.
Ila kwa sisi waislamu lazima maiti kabla ya kuzikwa kama kuna wanaomdai wanaenda kuonana na familia yake.
Ila kila mara inasisitizwa tena sana mno watu wasamehe ili marehemu apate kupumzika ..Hekima ya hii **** kiwango ambacho kama mtu anaidaiwa ni kikubwa basi ataachia familia yake msala sasa ndo ukute watoto wadogo au ndugu hawana kitu ...