MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
wanajamvi, hapa ndo kitovu cha habari.naomba mwenye taarifa za kesi hz atujuze kuwa ziliishaje au zimefikia wapi.kwa sababu kesi zinapoanza kutajwa waandishi huwa wanatupa taarifa lakini mwisho wa kesi ni nadra sana kupewa mrejesho.kesi hz 1.MTOTO WA AMATUS LIYUMBA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA. 2.BASILI,PESA MBILI MLAMBA NA GRAY MGOJA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA. 3. EMMANUEL MBASHA 4.ABDALAH ZOMBE KUISHITAKI SERIKALI