Nani anaijua dawa ya usingizi zaidi ya valium?

Nani anaijua dawa ya usingizi zaidi ya valium?

Kante98

Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
15
Reaction score
13
Habari.!

Anayejua dawa ya kupata usingizi tofaut na valium ambazo kwa sasa hazipo tena madukani naomba anisaidie.

Shukrani.
 
nisaidie mkuu,bi mkubwa wang halali vizuri ana tatizo la presha hivyo kumpelekea kukosa usingizi hapo awali alikuwa anatumia valium na zilikuwa zinamsaidia.
 
Ukiambiwa tu dawa unanunua unapeleka Kwa bi mkubwa ?tens mtu mweny pressure utajuaje dawa ita respond vipi ?sideeeffects je Kwa mtu mweny shida kama yake ?why usiende hospital wakuandikie daktari ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la usingizi lilinisumbua kipindi Fulani kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga baada ya kuhama tatizo likaisha

Ilikuwa ikifika saa Tisa usingizi unakata..nikajaribu kusoma biblia usingizi ukawa unagoma...nikifungulia redio station ya maombi najikuta kumekucha..

Hiyo ndo ilikuwa dawa yangu mambo ya madawa ya hospitalini niliona yatanizoesha vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa asilia ya usingizi afanye zoezi la kutembea kwa miguu asubuhi na jioni na kupata muda wa zoezi dk 60! Usiku atachoka na kulala usingizi safi. Kama afya yake ni imara mpe kamba aruke kwa muda wa saa moja...atakuwa katibu usingizi na kajitibu pressure.
 
Kuna hivi vipiriton ni noma. Ila ushauri mpeleke kwa wataalam watakupatia msaada zaidi.
 
Biringanya asiimenye aikate sless kama za chips atie kwenye pan aweke na mayai kadiri apendavyo (chips ya biringanya) ale asubh na usiku baaada ya siku 5 ulete mrejesho

Pia atumie chia seed asubh kijiko kimoja na usiku kijiko kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aiseeeh me nikikosaga usingizi kabisaa nakunywa chai ya rangi vikombe viwili kinachofatia hapo ni kudozii sometime nakuja kuamka sa 3 na nimechelewa job🤣🤣🤣🤣 uzur nimejiajir sifukuzwi na mtu😂😂😂
 
Back
Top Bottom