Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Mbowe kumaliza muda wake?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,216
3,692
Kama tunavyoifahamu CHADEMA ilianza muda mrefu tangu enzi za Mwenyekiti akiwa mzee Mtei, Bob Makani, Dk. Amani Kabuluu na wengineo wengi hadi kufikia Mwenyekiti wetu mzee Mbowe.

Kwa mujibu wa katiba na sheria muda wa mzee Mbowe utakapo karibia kustaafu nafasi ya Mwenyekiti kwa mujibu wa sheria hivi unadhani ni nani anafaa kuiongoza CHADEMA.

Mimi upande wangu namkubali sana Lissu awe Mwenyekiti wa chama baada ya Mbowe atakapostaafu siasa hivi karibuni kuachia kiti cha Mwenyekiti.

Je, wewe upande wako ni nani unampendekeza nafasi hii?
 
Mbowe hataondoka mpaka chama kife! Chama cha familia amwachie nani? Puliizi...!!!
2af1ca1249230686ee3ea4cbd79cf74d.jpg
 
kama tunavyoifahamu chadema ilianza muda mrefu tangu enzi za mwenyekiti akiwa mzee mtei, bob makani, dk.amani kabuluu na wengineo wengi hadi kufikia mwenyekiti wetu mzee mbowe.

kwa mujibu wa katiba na sheria muda wa mzee mbowe utakapo karibia kustaafu nafasi ya mwenyekiti kwa mujibu wa sheria hivi unadhani ni nani anafaa kuiongoza chadema.

mimi upande wangu namkubali sana lissu awe mwenyekiti wa chama baada ya mbowe atakapostaafu siasa hivi karibuni kuachia kiti cha mwenyekiti ,

jee wewe upande wako ni nani unampendekeza nafasi hii
Kwani ukomo wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa chama ni lini? Maana tunajuaga ukomo wa mwenyekiti wa ccm tu vyama vingine hatujuagi..!!
 
Kwani mbowe akitawala milele kuna nini!? Kamanda ana deserve kubaki hapo mpaka kifo kimtenganishe na uenyekiti..

Nashauri mbowe abaki mpaka mwisho wa maisha yake
mkuu ni kweli watu wengi tunampenda sana mbowe ila shida ni kwamba katiba ya chama inaonyesha ifikapo mwezi wa nne muda wa mwenyekiti wa sasa kustaafu na kumuachia viatu vibembwe na mtu mwinginee
 
Wewe mtoa Uzi ni kweli umewaza vyakutosha? Nani kakuambia Mbowe anataka kustaafu siasa ama kuachia kiti? Ruzuku atapataje akiachia kiti kwa MTU mwingine?
mkuu katiba ya chama inavyosema muda wa mwenyekiti wa sasa utafikia kikomo mwezi wa nne sasa ni vizuli chama kikaanza vikao vya kumuandaa mwenyekiti mpya
 
Back
Top Bottom