M Mbilikimo Mfupi JF-Expert Member Joined Nov 11, 2015 Posts 978 Reaction score 1,209 Aug 7, 2016 #1 Wakuu, naomba kujua sherehe za nane nane mkoa wa Ruvuma zinafanyikia sehemu gani kwa mwaka huu? Mwenye taarifa pliz anijuze
Wakuu, naomba kujua sherehe za nane nane mkoa wa Ruvuma zinafanyikia sehemu gani kwa mwaka huu? Mwenye taarifa pliz anijuze
CHIWAMBO Member Joined Jun 4, 2012 Posts 59 Reaction score 18 Aug 7, 2016 #2 Zinafanyika Mbeya ktk mabanda/ stendi ya nanenane
DR. MWAKABANJE JF-Expert Member Joined Nov 7, 2012 Posts 1,986 Reaction score 3,150 Aug 7, 2016 #3 Zinafanyika viwanja vya nanenane barabara ya songea - Mbeya kituo kinachofuata baada ya mtazamo, but da mkuu hapanogi kweli Ruvuma ipo nyuma.
Zinafanyika viwanja vya nanenane barabara ya songea - Mbeya kituo kinachofuata baada ya mtazamo, but da mkuu hapanogi kweli Ruvuma ipo nyuma.
REDEEMER. JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 8,918 Reaction score 14,894 Aug 7, 2016 #4 88 ni Arusha nimehudhuria kwenye mikoa mingine zinapoa sana eneo la maonyesho halizidi hata hatua kumi kama huko nyamhongolo Mwanza.
88 ni Arusha nimehudhuria kwenye mikoa mingine zinapoa sana eneo la maonyesho halizidi hata hatua kumi kama huko nyamhongolo Mwanza.
M2mish Member Joined Jun 12, 2014 Posts 26 Reaction score 7 Aug 7, 2016 #5 inafanyika katika viwanja vya MWAKANGALE mbeya.