Alha beiby
Member
- May 18, 2015
- 19
- 5
Namuonea huruma mtoto huyu, mke wa rafiki yangu kabeba mimba wakati anamtoto mchanga mwenye miez 4, ushauri afanye nini ili kumnusuru kichanga huyo.
Ushauri wa nini... Kwani mimba umebeba weweMke wa rafk yang kabeba mimba wakat ana mtot mchanga mwenye miez 4, ushaur afanye nin il kumnusur uyu hko kchanga
Huwa inatokea sana,muhimu mama ale vizuri na anaweza kuendelea kunyonyesha mpaka ujauzito ufike miezi saba ili kuacha nafasi ya maziwa ya mwanzoni yenye kinga kutengenezwa kwa ajili ya Mtoto mpya!Baba atoe ushirikiano wa kutosha kulea Mtoto maana mama anaweza kuchoka na kushindwa!kila la kheri kwaoMke wa rafk yang kabeba mimba wakat ana mtot mchanga mwenye miez 4, ushaur afanye nin il kumnusur uyu hko kchanga
Ushauri wa nini... Kwani mimba umebeba wewe
Acheni kufuata fuata maisha ya watu
Huwa inatokea sana,muhimu mama ale vizuri na anaweza kuendelea kunyonyesha mpaka ujauzito ufike miezi saba ili kuacha nafasi ya maziwa ya mwanzoni yenye kinga kutengenezwa kwa ajili ya Mtoto mpya!Baba atoe ushirikiano wa kutosha kulea Mtoto maana mama anaweza kuchoka na kushindwa!kila la kheri kwao