Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
- Thread starter
- #81
Sawa .tambwe anakusalimia
Tambwe ndio nani? Kwani ana undugu na Lokosa
Sawa .tambwe anakusalimia
Tambwe ndio nani? Kwani ana undugu na Lokosa
Mikimbio yake sio mbaya
Siti zilijaa kwenye ndegeMbona hajaenda Sudan na kikosi?
Atacheza siku ya mchezo na utopolo,na ndiyo atakayewakeketa uje uropoke vizuriMbona hajaenda Sudan na kikosi?
Atacheza siku ya mchezo na utopolo,na ndiyo atakayewakeketa uje uropoke vizuri
Kuna shida gan. Timu inafanya vzr pasipo yeye. TUMIA MUDA, AKILI NA NGUVU HII KUISAIDIA TEAM YAKO YA UTOPOLO DADANi mtazamo tuu, wala msijenge chuki. Kuna dalili zote Lokosa Junior akawa kama Yikpe tu. Japo hajapata muda wa kutosha, ila kwa touch zake mbili tatu nikiwa kama mdau wa soka naona kabisa Simba wamepigwa mchana kweupe. Ni suala la muda tuu... Lokosa hatoshi Simba ni heri Kagere kuliko huyo Lokosa.
Mapovu ruksa!!
Mikimbio yake sio mbaya
Simba tumepigwa hapo mchana kweupe.
Hivi utamjuaje mchezaji kwa dk 20 anyway ngoja tuone
Yule ni Yikpe aliyechangamka!
Lukosa hajacheza mechi za mashindano.muda mrefu, kocha mwenyewe alisema junior lukosa anahitaji program maalumu ya mazoezi ili awe fiti.
Tumpe muda
wabongo wanataka striker awe kama Morrison na Miqsonne,sijui atakuwa anakimbia kuelekea wapi
Msubirie na Lokosa naye.
Kwani mambo yakibadilikaNdo uchawi wenyewe huu.