Katitima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 631
- 122
Poleni kwa majukumu wana JF
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimtafuta dada yangu katika ukoo bila mafanikio, anaitwa Stella Bosco alimaliza kidato cha nne mwaka 2002, JWTZ 411 kj ruhuwiko secondary baada ya hapo alichaguliwa kuendelea na masomo Lugalo High School-Iriinga mwaka 2003/2005-hkl.
Baaaye sijui alisoma chuo gani, tulipoteza mawasiliano mwaka 2003 na kipindi hicho wengi wetu hatukuwa na simu.
Sasa naomba kama kuna yeyote anahabari zake/mwenyewe anijulishe tafadhali naamin kuwa hapa ni uwanja sahihi
Natanguliza shukurani.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimtafuta dada yangu katika ukoo bila mafanikio, anaitwa Stella Bosco alimaliza kidato cha nne mwaka 2002, JWTZ 411 kj ruhuwiko secondary baada ya hapo alichaguliwa kuendelea na masomo Lugalo High School-Iriinga mwaka 2003/2005-hkl.
Baaaye sijui alisoma chuo gani, tulipoteza mawasiliano mwaka 2003 na kipindi hicho wengi wetu hatukuwa na simu.
Sasa naomba kama kuna yeyote anahabari zake/mwenyewe anijulishe tafadhali naamin kuwa hapa ni uwanja sahihi
Natanguliza shukurani.