Namtafuta mtu wa moshi

Black cat

Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
16
Reaction score
21
Mambo zenu wote.
I hope mko powa mimi natafuta mtu wa moshi ila asiwe mlokole awe anajua mambo ya mji mtulivu.
Kwa maana nashida sio ya mapenzi.
Ni yale yale yakwangu kama upo tayari .
Ni pm
Ila tafadhali usinipm kama uko nautani.
Mi mwana mke.
 
Mambo zenu wote.
I hope mko powa mimi natafuta mtu wa moshi ila asiwe mlokole awe anajua mambo ya mji mtulivu.
Kwa maana nashida sio ya mapenzi.
Ni yale yale yakwangu kama upo tayari .
Ni pm
Ila tafadhali usinipm kama uko nautani.
Mi mwana mke.
Hayo hayo yakwako mambo gani?
 
Ulikujaga na uzi wa kumtafuta mganga sasa umerudi na huu...huko Moshi wamekwambia ndio kuna waganga ? Wachagga waongo sana huwenda wameshaona fursa kwako
 
Ulikujaga na uzi wa kumtafuta mganga sasa umerudi na huu...huko Moshi wamekwambia ndio kuna waganga ? Wachagga waongo sana huwenda wameshaona fursa kwako
Sio wachaga watu ndio wanamsema yupo huko.
 
Mambo zenu wote.
I hope mko powa mimi natafuta mtu wa moshi ila asiwe mlokole awe anajua mambo ya mji mtulivu.
Kwa maana nashida sio ya mapenzi.
Ni yale yale yakwangu kama upo tayari .
Ni pm
Ila tafadhali usinipm kama uko nautani.
Mi mwana mke.

Ni PM nikusaidie panaposaidika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…