Kwann unajaribu kuFit in ?? Wakat kwa uyo demu umezaliwa kua nje yake??.
Miez nane,hakutafut bado unahangaika tuu??? .
Leave her, focus ktk maisha yako, au huna uhakika km unaweza mpata dem mwingine???so its like ulimpata kwa bahati,??? .
Wanawake walivyojaa hpa Dunian bado tu unahaha nakadem kamoja usikute Hakana hata kalio, sura haieleweki haaaa........ Nyie ndo mnafanya wanaume kuonekana goegoe.
Mimi nakuambia, Sijawah nasitokaa lia lia kisa demu, nikikuambia mara ya kwanza huelewi ,huyo natema naww ,kwakua najua huko nje kun mahali fulan mwanamke mzuuuuuuuuuuri ananipenda na ananisubiri.
Kua Mwanaume, miezi minane maana yake unaishi masha ya ajabu nmawazo yasokua namaana uku mwenzako akiliwa huko ovyovyo nausikute mpaka kufikia hapo keshaliwa mpaka Tigo!!!
Alafu bado unajifunga ktk kifungo kisichokufa!!??? Hahhhhhahaua nitakua wa mwisho kuukubali huo ujinga.

mawazo mengi husababisha uchizi , mwili kudhoofu ,Mahusiano mabaya nawatu ,kujihisi unayetengwa na usiyependwa au kifo.....acha kua chizi na usife kisa K!!!
Ungejua DUNIA ILIVYOTAMUUUUU, Wanawake waliojaaa wakila aina... Wala usingekaa kuruhusu SIWEMA akupe mateso ya Moyo ili hali HUJAZUNGUKA TANZANIA NZIMA,UNGUJA NAPEMBA NAKUONA WAREMBO WALOJIPAMBA NAKUPAMBIKA !!wanakukonyeza wenyewe
