Humu labda niendee moja kwa moja kwenye mada, na hivi kuna msichana flani nilitokea kumpenda na nikaamua kumtokea, kwa bahati mbaya au nzuri alinikataa, na kwakuwa nilikuwa bize sana nikajikuta nampotezea bila kumfuata Mara ya 2, cha ajabu ameanza kuwaambia washikajii zangu mtaani eti namuogopa! Kiukweli simuelewi anamaanisha nini kunitangazia hivyo.