gyeetitus
Member
- Dec 16, 2016
- 86
- 39
Wana JF habari yenu humu..
Nilikuwa nataka kuuliza swala moja hasa kwa wale waliowahi kupitia au kuhama chuo kimoja kwenda kingine. Ni namna gani unaweza kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine iwe ni degree au diploma yeyote.
Hebu tujuzane namna unavyoweza kufanya kwa mfano umesoma mwaka wa kwanza na unataka kuhama chuo mwaka wa pili. Hebu tutiririke hapa.
Nilikuwa nataka kuuliza swala moja hasa kwa wale waliowahi kupitia au kuhama chuo kimoja kwenda kingine. Ni namna gani unaweza kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine iwe ni degree au diploma yeyote.
Hebu tujuzane namna unavyoweza kufanya kwa mfano umesoma mwaka wa kwanza na unataka kuhama chuo mwaka wa pili. Hebu tutiririke hapa.