xhuma
Member
- Aug 22, 2010
- 36
- 5
Ingawa hackers wana njia nyingi za kuingia kwenye network lakini ni bora kuchukua tahadhani ndogo ndogo na rahisi kujiweka sawa angalau mtu asiweze kuingia kwenye net yako kirahisi, nimeandika guide fupi kupunguza uwezekano wa wireless Network yako kutumiwa na mtu mwingine: Icheki Hapa