Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Mpaka sasa hakuna cha TUCTA, TUGHE, BAKWATA, CWT, NEC, wala KIGODA CHA MWALIMU vyote viko mikononi mwa mtu fulani.
Wanachama wanateseka, kulia na kusaga MENO BILA MTETEZI, Wengine wako busy kupongeza hata matamko.
- Anyway mara tu baada ya uchaguzi wa mwaka jana mtakumbuka Mkurugenzi wa LHRC alipata ajali ya gari, akiwa hospitali 'Mkulu' wetu alikuwa wa kwanza kwenda kumjulia hali hospitali
- Baada ya kupona Bi Kijo Bisimba aliendelea na majukumu yake kama kawaida ambayo 'Mkulu' hapendi hata kuyasikia, Matokeo yake akaanza kutishia mbele ya MAKAMERA kwamba atawachunguza eti kwa kuwa wanawatetea watu.
Kutokana na 'biti' hilo ni kama LHRC wamepunguza speed au mnaonaje wadau ?
Will TLS & LHRC also be compromised ?
Wanachama wanateseka, kulia na kusaga MENO BILA MTETEZI, Wengine wako busy kupongeza hata matamko.
- Anyway mara tu baada ya uchaguzi wa mwaka jana mtakumbuka Mkurugenzi wa LHRC alipata ajali ya gari, akiwa hospitali 'Mkulu' wetu alikuwa wa kwanza kwenda kumjulia hali hospitali
- Baada ya kupona Bi Kijo Bisimba aliendelea na majukumu yake kama kawaida ambayo 'Mkulu' hapendi hata kuyasikia, Matokeo yake akaanza kutishia mbele ya MAKAMERA kwamba atawachunguza eti kwa kuwa wanawatetea watu.
Kutokana na 'biti' hilo ni kama LHRC wamepunguza speed au mnaonaje wadau ?
Will TLS & LHRC also be compromised ?