Kuna mtu aliniambia kuwa namba hii 0788 69 25 00 pia ya utapeli,
Nadhani namba za utapeli si moja tu, na matapeli siku hizi wamebuni mbinu nyingi sana, wanaweza kutumia mabinti wazuri -wazuri kuomba pesa, au hata nafasi ya kazi kwa kukuahidi kukupa kazi, so muwe makini.
hiyo namba ukiicheki WhatsApp kuna binti fulani hivi ana asili ya shombe-shombe hivi, so huyu jamaa yangu alitapeliwa pesa kipumbavu sana.