Wana JF.
Kama kuna watu walikuwa wanasikia tetesi basi leo napenda kuweka bayana kuwa Mimi Hamad Moh'd Hafif Al- Mugheiry na wake zangu wawili .........sote kwa pamoja tunasafiri kwenda kwenye mji mtakatifu wa Makkah na Madinna kwa ajili ya kuhirimia Hijja.
Nawatakia barza njema
Hata mimi namshangaa sana huyu jamaa. Waislamu wanadai kuwa Quran ilishushwa kwa Muhammad na Gabril ambaye Muhammad anadai ndo Roho Mtakatifu. Sasa huyu jamaa anafanya makufuru hapa hadharani kabisa. Lol! Yawezekana uislamu haujuwi vizuri huyu.
================================
Sura 2:97 says that Gabriel brought down the revelation to Muhhamad, while Sura 16:102 says it is the Holy Spirit. So Muslims say that "Holy Spirit" is just another name for Gabriel.
Hivi ndivyo waislamu wanavyoamini japo kuna mkanganyiko hapa. Muhammad naona alichanganya maboya hapa. Lol!
97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini. ***
Sura 2:97
102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu. ***
Nafikiri unaona kuna tofauti kubwa baina ya ROHO TAKATIFU na ROHO MTAKATIFU
Uwe makini sana unaposoma kabla kuleta ubishani.
Swadaka Allahu L'adhim
Nafikiri unaona kuna tofauti kubwa baina ya ROHO TAKATIFU na ROHO MTAKATIFU
Uwe makini sana unaposoma kabla kuleta ubishani.
bwana yesu akuongoze ufike salama maana ukimtegemea allah hatakusaidia utaishia kutupiwa mawe bure..............
Sura 2:97
102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu. ***
[/QUOTE]waislamu wa tz wanawapenda waarabu.....hawaambiliki hawasikiki sijui wanawapa nini?..........sijui ni ile mindevu?
Swadaka Allahu L'adhim
[/QUOTE]hapa tatizo kubwa ni allah anapozidi kuwafanya kichwa ngumu waislamu
wanafuata moto........allah aliisha laaniwa na Mungu.......
Nafikiri unaona kuna tofauti kubwa baina ya ROHO TAKATIFU na ROHO MTAKATIFU
Uwe makini sana unaposoma kabla kuleta ubishani.