Nakusihi NILHAM RASHED

Mic check one two, mic check one two, hashycool unanipata vizuri hapo kwenye hizo spika??
 
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
may day....may day......we are going downnn.....
Mkuu leo watu walikuwa wamekaba angle zote hata sipumui kwenye kupiga penalti nako mkoloni anakaba kaja kukubali jioni baada ya kuona mechi inaisha droo ndio ikabidi asepe lol!!!
 
Mkuu leo watu walikuwa wamekaba angle zote hata sipumui kwenye kupiga penalti nako mkoloni anakaba kaja kukubali jioni baada ya kuona mechi inaisha droo ndio ikabidi asepe lol!!!

kaka acha story kwanza chopper ina enda down i need an immediate evacuation!....l.o.l
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…