nassorabuu
Member
- Dec 31, 2013
- 19
- 0
on additional to data nilizokupatia utapewa almost 3.1m straight from HESLEB, na iyo 1.3m plus 2.5k utaongezea wewe binafs bt im pretty sure kwa fedha utakazopewa unaweza ukajilipia hiyo fee wewe binafsi na change kibao tuu ztabk kufanyia mambo yako mengine mengine.Direct cost ya optometry hapo kcmc ni sh ngap
Ok nashukuru mkuuon additional to data nilizokupatia utapewa almost 3.1m straight from HESLEB, na iyo 1.3m plus 2.5k utaongezea wewe binafs bt im pretty sure kwa fedha utakazopewa unaweza ukajilipia hiyo fee wewe binafsi na change kibao tuu ztabk kufanyia mambo yako mengine mengine.
cz bajet yako optometrist ya mwaka ni almost 4.7 up to 5.4m iyo ni yako wewe mwenyewe (pockt money plus research) na utapewa ila kwa awamu means semister moja na ile ya pili.
hopefully big YES,Je, ninaweza kuchahuliwa kweli? Nimesoma CBG nikapata BBB mwaka 2015
Nimeiweka yakwanza mkuu. Vp kati ya optometry na prosthetics na orthotics ipi nzr? Prosthetics nimeweka ya 3hopefully big YES,
ila usacrifice kuiweka box ya kwanza kat ya zile tano zinazotolewa Mkuu.
karibu KCMUCo university the home of FREE ( Oxygen, WIFI, Books sc, Online exams etc
Kwa hiyo ajira serikali hawatoi kwa bongo?hii kozi haipo kwenye muongozo wa utendaji wa nchi yetu
Ahsante sana mkuu mambo yakiwa mazuri tutakutana hukohopefully big YES,
ila usacrifice kuiweka box ya kwanza kat ya zile tano zinazotolewa Mkuu.
karibu KCMUCo university the home of FREE ( Oxygen, WIFI, Books sc, Online exams etc
mkuu hii corz, si ya leo wala jana ni kitambo kirefu sana 70`s huko ila katika ngazi ya Diploma, waasisi hao hao ndio wwametetea mpk hii leo Degree inatolewa kwa ufupi sibishan na wewe ila kwa kusaidiana maarifa na facts ni kuwa wizara ya Afya kwa ujumla wake imeidhinisha hii proffesn na kuanzia mwaka 2014 ikatoa license rasmi kuwa ktk list mama ya HEATLH SECTOR SERVICE. (note; corz pekee ambayo up to date haijapatiwa license licha ya kuwa inatoa wataalam wa afya nchini ni PHYSIOTHERAPY peke yake) though very soon itapatiwa,hii kozi haipo kwenye muongozo wa utendaji wa nchi yetu
mkuu, prothetics and orthopedics pia ni coz nzur ya afya inayopatikana apa KCMUCo, ila katika kukusaidia tuu maarifa usijaribu kucompare hizo corz na optometry kabisa, huwez kuelewa nn ninachokimaanisha kwa sasa maana uko out of sight ila ukishakuwa ndn ya system (insight) utaelewa nn hasa nilichokuwa nakimaanisha.Nimeiweka yakwanza mkuu. Vp kati ya optometry na prosthetics na orthotics ipi nzr? Prosthetics nimeweka ya 3
historia ya optometry dunian kote sambamba na nchi ze2 hiz za Africa haijawahi kutokea optometrist akakosa kazi unless otherwise akatae mwenyewe haijalishi ni ngazi gani ya taaluma amepitia either iwe diploma ama dgree wote wanahitajika kwa wingi mno na bado hawatoshelez mahitaj bado.Kwa hiyo ajira serikali hawatoi kwa bongo?
nayasena hayo tayar nikiwa na DATA zinazojitosheleza ila pia kama member ktk system ya wale waliohitimu na wale ongoing optometrist, SO issue ya ajra serikalin zinatolewa ila waliowengi wapo ktka private sectors while other wakiwa wamejiajiri and only few Number of them wakiwa wameajiriwa serikalini.Kwa hiyo ajira serikali hawatoi kwa bongo?
Mkuu tuombe mungunayasena hayo tayar nikiwa na DATA zinazojitosheleza ila pia kama member ktk system ya wale waliohitimu na wale ongoing optometrist, SO issue ya ajra serikalin zinatolewa ila waliowengi wapo ktka private sectors while other wakiwa wamejiajiri and only few Number of them wakiwa wameajiriwa serikalini.
nawakilisha.
hakika.Mkuu tuombe mungu
Mambo yakiwa sawa tutakuwa wote hapohakika.
Mungu akutangulie.
yeah; siku zote napenda mkosoaji ambaye ni mfuatiliaji na si mkosoaji asiye na hata chembe za data kichwan, hivyo ndivyo ilivyo optometry mkuu kat ya proffesn inayokuja kwa kas kubwa sana africa na TZ ikipata bahat tayar ya kuwa na wataalam wenye hadi ngaz ya masters na PHD mkuu, (japo ni wachache mno) ila very markertable proffessional ever in HEALTH sector worldwide.aisee mkuu nimefuatilia hii kozi kwa undani nakubaliana na wwe ni kozi nzuri sana nilikuwa sijui aisee