Well, by normal I meant natural. Kama wewe unaona ndio kawaida yako hivo basi fanya hivo tu. Atakae vutiwa na hivyo vitu atavutiwa huku akijua that's just the way you are. Kuna watu wanalazimisha kufanya vitu sababu wanadhani it will impress their lovers kumbe ndio wanaharibu. Just be yourself.